
Machinga waleta tafrani Kilombero-Arusha! Ni baada ya kufukuzwa mitaani, waenda eneo waliloahidiwa (opposite na Summit Centre) na kuvunja uzio wa bati na kuanza kusafisha eneo hilo rasmi kuanza biashara zao!
![]() |
watu wakiwa wanarandaranda karibu na eneo la tukio eneo la summit center na karibia na eneo la kanisa la calvary temple mjini arusha |
![]() | ||||||
ni maeneo ya Kilombero ! Opposite na summit centre palipozungushiwa uzio wa bati zaidi ya miaka kama 5 hivi bila kuendelezwa |
No comments:
Post a Comment