Wednesday, September 12, 2012

SIMBA ALIVYOKULA LAMBALAMBA 3 NA KUWA SHUJAA


 
Nahodha wa Simba Juma Kaseja akikabidhiwa Ngao ya hisani kutoka kwa waziri wa Kazi na Ajira Makongoro Mahanga baada ya ushindi wa jana. Simba inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager iliichapa Azam mabao matatu kwa mawili katika mchezo wa kusisimua uwanja wa Taifa
 

No comments:

Post a Comment