Wednesday, December 19, 2012

kama ulimis matukio ya uwizi wa 150mil kariakoo basi pata japo uhondo kwa ufupi.

 

Mtu anaedaiwa Kuhusika katika tukio la Ujambazi lililotokea Maeneo ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam jana akiwa chini ya Ulinzi baada ya kukamatwa. Watu wawili waliuwawa jana na majambazi wakati wakipora fedha.
Picha zaidi Bofya JIACHIE BLOG

No comments:

Post a Comment