Sunday, December 9, 2012

HII NDIO NCHI YA AFRICA ANAKOKWENDA CHRIS BROWN DECEMBER HII.


.
Kwenye namba 10 ya stori 10 za AMPLIFAYA ya CLOUDS FM December 7 2012, Chris Brown ndio amehusishwa kutokana na taarifa ambazo zilienea sana kwamba anakuja kufanya show Kenya.
Mtangazaji wa CITIZEN TV/RADIO William Tuva ambae ameifatilia hiyo ishu amepata info kutoka kwa wahusika kwamba mwimbaji huyo ni kweli alipaswa kuja Kenya december hii lakini imeahirishwa na sasa itakua mwakani kabla ya uchaguzi mkuu.
Waliopanga kumleta ni walewale mapromota waliomleta mwimbaji Akon siku kadhaa zilizopita.
Bado stori iko palepale kwamba CB anakuja Africa december hii ambapo atafanya show Lagos Nigeria december 22 2012.
chanzo-millardayo.com

No comments:

Post a Comment