Saturday, December 22, 2012

HUYU NDIO MTANZANIA ALIETANGAZWA MISS EAST AFRICA 2012 DEC 21.


Huyu ndio mtanzania Joseline Dyna Maro (22) Miss East Africa 2012, hajaishi Tanzania kwa muda mrefu, kabila lake ni Mchaga na kwenye maisha yake ameishi Kenya, South Afrika, England na Ivory Coast, yeye na wazazi wake wamefanya exclusive interview na mimi ambayo itasikika jumatatu kwenye AMPLIFAYA CLOUDS FM.
.
.
Hawa ndio washindi wa nafasi ya pili na ya tatu, Miss East Africa Uganda na Miss East Africa Burundi.
Top 5
Top 10.
Gaetano ndio alikua MC ambapo shindano limefanyika Mlimani City Dar es salaam.
.
Mad Ice aliperform.
.
.
.
.
.
.source by MillardAyo in News

No comments:

Post a Comment