Nadia Eweida alilazimishwa kukoma kuvalia mkufu wake wenye msalaba
Mfanyakazi mmoja wa shirika la ndege la Uingereza , British Airways, alibaguliwa kazini kwa sababu ya imani yake ya kikristo.
Huu ndio uamuzi uliotolewa na mahakama ya haki za binadamu ya Ulaya.Alifikisha kesi yake katika mahakama hiyo baada ya shirika la BA, kumlazimisha kukoma kuvalia mkufu wake uliokuwa na msalaba.
Majaji wa mahakama hiyo waliamua kuwa haki za wakristo wengine watatu pia zilikiukwa.
Baadhi wa wakristo wanavalia msalaba kama ishara ya imani yao
Kwa upande wake Nadia Eweida alipigwa marufuku kuvalia mkufu wake akiwa kazini.
Wakristo hao wanne wanadai kuwa hatua ya waajiri wao inakiuka haki zao za kibinadamu zinazowapa uhuru wa kidini.
No comments:
Post a Comment