Wanaume hata hivyo wanoonywa wasitumie utafiti huu kama kigezo cha kutowasaidia wanawake
Ulibaini kuwa wakati wanawake wanapofanya kazi za kike pekee kama vile kupika na usafi na wanaume kufanya kazi za kiume kama vile kutengeneza gari na kupanga vitu kabatini hushiriki tendo la ndoa mara 1 nukta sita kwa mwezi zaidi ya wanaume wanaofanya kazi za kike.
Hata hivyo watafiti wamewaonya wanaume dhidi ya kutumia matokeo ya utafiti huu kama sababu ya kutowasaidia wanawake.
Wanasema hii inaweza kusababishha mzozo na pengine kupungua kwa muda wa kujamiiana.
No comments:
Post a Comment