Saturday, November 3, 2012

Redd's Miss Tanzania 2012 live ndani Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar jana usiku


Washereheshaji katika Onyesho la kumsaka Mlimbwende wa Redd's Miss Tanzania 2012 usiku huu ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Taji Liundi na Kulia ni Jokate Mwegelo.
Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakionyesha show yao mbele ya Watanzania katika Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam,usiku huu. 
Warembo wakipita katika jukwaani na Mavazi ya Ubunifu. 
Burudani ya Ngoma za Asili kutoka kwa Kundi la Wanne Star. 
Wadau wa Miss Tanzania wakibadilishana Mawazo.
Wanahabari kazini.
Wadau kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam usiku huu.
Watu kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
Wanalibeneke mzigoni kama kawaida.

No comments:

Post a Comment