Washereheshaji
katika Onyesho la kumsaka Mlimbwende wa Redd's Miss Tanzania 2012 usiku
huu ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es
Salaam.Kushoto ni Taji Liundi na Kulia ni Jokate Mwegelo.
Warembo
wa Redd's Miss Tanzania wakionyesha show yao mbele ya Watanzania katika
Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam,usiku
huu.
Warembo wakipita katika jukwaani na Mavazi ya Ubunifu.
Burudani ya Ngoma za Asili kutoka kwa Kundi la Wanne Star.
Wadau wa Miss Tanzania wakibadilishana Mawazo.
Wanahabari kazini.
Wadau kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam usiku huu.
Watu kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wanalibeneke mzigoni kama kawaida.
No comments:
Post a Comment