Sunday, April 7, 2013

PICHA ZA JINSI JAY Z NA BEYONCE WALIVYOREHEKEA MIAKA MITANO YA NDOA NCHINI CUBA NA KUPITA MITAANI


.
.
3
.
.
.
.
.
.
.
.
11
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Mwananchi yazoa tuzo za umahiri

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Seif Sharif Hamad (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya dola 4,000 za Marekani mshindi wa  jumla wa Tuzo ya Uandishi Bora, mwandishi wa gazeti la The Citizen, Lucas Liganga, wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) Dar es Salaam, juzi usiku. Picha  na  Emmanuel Herman 
Dar es Salaam: Waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) inayochapa magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti wameibuka tena kidedea kwenye tuzo  za umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) kwa mwaka 2012, baada ya kushinda tuzo 13, ikiwamo ya mshindi wa jumla.
Sherehe za utoaji wa tuzo hizo ilifanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Makamu wa Kwanza wa Rais, Seif Sharif Hamad ambaye alimwakilisha Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.
Mshindi wa jumla kwa mwaka 2012 ni Lucas Liganga wa gazeti la The Citizen, ambaye ameifanya MCL kunyakua tuzo hiyo kwa miaka miwili mfululizo ambapo mwaka 2011 tuzo hiyo ilichukuliwa na Neville Meena wa gazeti la Mwananchi.
Washindi walipewa zawadi za magodoro, televisheni, Ipad na vyeti, huku mshindi wa jumla akipewa dola 4,000 za kujiendeleza kimasomo.
MCL iliingiza fainali waandishi 14 kati ya 66 walioteuliwa kuwania tuzo hizo ambao ni pamoja na Samweli Mwamkinga, Florence Majani, Polycarp Machira, Tom Musoba, Elias Msuya, Leon Bahati, Lucas Liganga, Shija Felician, Fredy Azzah, Joseph Zablon, Zephania Ubwani, Tumaini Msowoya, Anthony Mayunga na Edward Qorro.
Mbali na kutoa mshindi wa jumla, waandishi sita wa magazeti hayo walikuwa ndio wagombea pekee wa tuzo mbili za habari bora ya Uchumi na Biashara na Majanga, huku Azzah akishinda tuzo ya habari bora ya Virusi vya Ukimwi (VVU) ambapo alikuwa peke yake na alichaguliwa mara mbili kuwania tuzo hiyo.
Waandishi wa MCL walioshinda na tuzo zao katika mabano ni Edward Qorro (Uchumi na Biashara), Lucas Liganga (Mazingira na Malaria), Fredy Azzah (Ukimwi na Elimu), Anthony Mayunga (Utawala Bora).
Wengine ni Florence Majani (Sayansi na Teknolojia na Afya ya Uzazi), Samwel Mwakibinga (Mchora katuni bora), Zephania Ubwani (Kilimo), Polycarp Machira (Majanga), Shija Felician (Tuzo ya wazi).
Katika tuzo ya jumla MCL iliingiza waandishi watatu kati ya waandishi wanane waliochaguliwa kuwania tuzo hizo ambao ni Lucas Liganga, Fredy Azzah na Florence Majani.
Katika utoaji wa tuzo hizo, MCL ilifuatiwa na Shirika la Utangazaji (TBC) ambalo lilizoa tuzo nane, Afya Redio (6) na Kilimanjaro Film Institute (5).
Tuzo ya Uchumi na Biashara kwa upande wa televisheni ilichukuliwa na John Lewanga wa TBC, tuzo ya michezo na utamaduni kwa upande wa magazeti ilichukuliwa na Abdul Mohammed wa gazeti la The African, Abdallah Majura wa ABM FM alishinda tuzo hiyo kwa upande wa redio.
Tuzo ya mazingira upande wa redio ilichukuliwa na Idd Juma Yusuf wa Afya Redio, tuzo ya afya upande wa magazeti ilichukuliwa na Beatrice Shayo wa Nipashe na upande wa redio ilichukuliwa na Gervas Hubile wa TBC-Taifa.
Tuzo za Ukimwi na VVU upande wa redio ilikwenda kwa Andrew Kiwanyi wa Kilimanjaro Film Institute.
Tuzo ya habari za watoto upande wa magazeti ilichukuliwa na Shadrack Sagati wa Habari Leo, upande wa Televisheni alichukua Daniel Kaminyoge wa Kilimanjaro Film Institute, upande wa redio ilichukuliwa na Mwamini Andrew wa TBC.
Utawala bora upande wa Televisheni ilichukuliwa na Jamal Hashim Said wa TBC, upande wa Redio ilichukuliwa na Noel Thompson wa Afya Redio.
Tuzo za habari za jinsia kwa upande wa magazeti ilichukuliwa na Husna Mohammed wa Zanzibar Leo, upande wa Televisheni tuzo hiyo ilichukuliwa na Bernard Mwaituka Televisheni Iringa.
Tuzo ya Sayansi na Teknolojia upande wa  televisheni ilichukuliwa na Rose Kibaja wa TBC na upande wa redio ilichukuliwa na Abel Onesmo wa Clouds FM.
Upande wa tuzo za habari za Majanga kwa upande wa redio alichukua Noel Thompson wa Afya Redio, habari za malaria kwa upande wa Televisheni alichukua Dotto Mnyadi wa TBC na upande wa redio ilichukuliwa na Faraja Sendegeya wa Afya Redio.

International Student Newsletter - April 2013

International Student News Issue 170 - April 2013
An InternationalStudent.com Publication

Homepage Contact Us Student Blogs View Online | Share | Unsubscribe
Welcome to the April 2013 Newsletter!
This month we are pleased to announce the launch of the new Student Secure plan, one of the leading international student health insurance plans, and a great way for international students to save money on their required insurance. The new plans offer lower rates for those 24 and under and some great benefit enhancements for everyone.
It is also tax season, with the April 15th deadline looming just over the horizon. Our tax center has excellent guidance for international students, or if you want more help we have partnered with Sprintax who will prepare your tax filings for as low as $14.95.
Ross Mason
Editor, InternationalStudent.com
facebook Twitter rss youtube Google Plus
In this issue:
  • Student Secure
  • Filing Your US Taxes?
  • Financial Pressure
  • Student News
  • From the Mailbag
  • Fun Site of the Month
  • Study Law in the USA
> Student Secure - New Insurance Plans for 2013
taxes
On April 1st 2013, the Student Secure plan has officially been relaunched, with new benefits and pricing for international students and study abroad students all around the world. We have adjusted the plan based on direct feedback from students from around the world. Changes include:
  • New pricing starting at just $29 for those under 25 in the USA
  • Lower deductible options, going as low as $25 per injury/ illness
  • 100% coverage after the deductible for those outside the USA
  • Mental health coverage now includes substance and alcohol abuse
  • Pre-existing condition coverage after 6 months on the Budget and Select plans
The Student Secure plan is the best option for international students, and will now meet the requirements of even more schools. If you are an international student, or will be an international student soon - the Student Secure will allow you to save money on your student health insurance. For more information and to see the new plans, please visit the student health insurance page.
> Need Help Filing Your US Taxes?
The US tax filing deadline is fast approaching. All international students must complete at least one form and if you worked or held an internship you will need to file other forms like the 1040-NR in order to receive your tax refund. The International Student Tax Center and the Tax FAQs page can help you figure out exactly what forms you need to file.
This year, we have partnered with Sprintax to help you with your taxes. Sprintax are experts in international student tax filing preparation. Their fees start at $14.95 to file Form 8843 (which all international students must file by April 15th) and $35.95 for those students that worked and are owed a refund. US taxes can be confusing. Sprintax can help you through the process, ensure you are compliant with US tax laws and make sure you get the refund you deserve.
Visit the International Student Tax Center for more information and to sign up for Sprintax.
> Financial Pressure is the Leading Cause of Anxiety for International Students
Did you know that financial pressures are the leading cause of anxiety among international students?
  • Tuition and fees can cost $30,000 or more for one semester, depending on the institution you choose.
  • Room and board can run approximately $5,000 to $10,000 per year depending on where you live - and what happens if the dormitory is closed during vacation periods?
  • Books are about $1,000 just for one academic year.
With these fees and others, it's no wonder why finances create anxiety in students. While it can be expensive to study in the US, it's important to use the support system your school offers. Your international student advisor can be a great help providing tips and tricks on inexpensive ways to afford your education. They know where to go shopping, how to save on costs, and can help you navigate your way to financial success. Many schools also have a Financial Aid Office that can provide assistance to their students when it comes to meeting education expenses.
If you are under financial pressures, don't let it get to you. Talk to your international student advisor and financial aid office to get the resources you need for educational success. You can also read and subscribe to the International Education Financial Aid Blog for posts and tips related to affording an international education.
> Student News From Around the World
Business Schools With the Most International Students
We are all familiar with the US News and World Report College and University rankings - released annually, these comprehensive rankings are anxiously awaited by schools and students alike. Many think that students rely on them too much, focusing attention on just a handful of top-ranked schools, when there are thousands of excellent colleges and universities in the US and around the world. However you feel about the rankings themselves, the US News reports contain a lot of data that can help you make your school choice.
For instance, US News publishes a variety of "short lists" - here is the short list of MBA Programs with the most international students. How many international students attend a program can be a very good piece of information for a potential business student. Some want a lot of international students, so they can be sure there is plenty of infrastructure and services available for students. Others want fewer international students, to ensure maximum absorption into the local culture. Whichever way you see it, this list is interesting and helpful for a potential international MBA student.
> From the Mailbag
This month we feature a post in our International Student Forum from Anna, who is looking for advice on studying in Memphis, Tennessee:
Hi guys! My name is Anna and I'm actually looking to study a degree in speech therapy or special needs in Memphis. Are there any universities that offer these courses and also accepts international students? I'm also Asian so I'm wondering if there are any asian students living or studying in memphis?
If you are a current international student, or have some advice for Anna - please swing by our student forum and share your knowledge.
> Fun Site of the Month
Our fun site this month is TED, which stands for Technology, Entertainment and Design. The idea behind TED was to bring people from those three worlds together to learn from each other - and since its inception in 1984, it has spread and now hosts one of the leading conferences where you can see the "thinkers" and "doers" of our time. If you cannot make it to one of their conferences - nearly all their content is posted online and is an excellent place to see some fascinating people talk about all kinds of topics.
> Study Law in the USA
The practice of law in the United States has a proud history, integral to the founding of the nation and maintaining the rule of law, and many lawyers and law students from around the world want to study or practice law in the United States. The legal profession is largely self-regulated, as each state has a "Bar" that sets the rules for the practice of law in that state. One important function of each state Bar is to provide a licensing structure that determines who is and is not allowed to practice law in that state, including non-US citizens. In this Study Law guide, we describe the overall legal system in the USA, as well as provide practical guidance for foreign education lawyers and international students that want to study law or practice law in the USA.
For more information, please visit our study law section.
International Student - 224 First Street - Neptune Beach - FL 32266 - USA

MATOKEO YA BARCELONA VS MALLORCA APRIL 6 2013, MSIMAMO WA LIGI LA LIGA,na Matokeo Ligi kuu England


.
DSC03983
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
..
..

Mwakyembe kuangalia upya nauli

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewatuliza Watanzania kuhusu kupanda kwa nauli akisema ameyapokea malalamiko  yao na atayafanyia kazi. Kwa kuanzia ameagiza nauli za treni jijini Dar es Salaam zisipande bali ziendelee kutozwa za zamani  mpaka taarifa zaidi itakapotolewa.
Mwakyembe alitoa kauli hiyo alipozungumza kwenye Bonanza la Vyombo vya Habari lililofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Alisema ni kweli Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra|) ilitangaza nauli mpya, lakini kwa kilio cha Watanzania ataangalia sababu za kupandisha huku akishirikiana na wasafirishaji kujua ukweli. Kuhusu tuhuma za Chadema dhidi yake kwamba amefanya ufisadi kuipatia Mamlaka ya Bandari(TPA) kiwanja cha Kampuni ya Jitegemee inayomilikiwa na CCM ili CCM inufaike,  alisema hizo ni njama za mafisadi waliokuwa wakikitaka kiwanja hicho kutaka kuichafua Serikali na yeye.
“Nawahakikishia kwamba  TPA iliomba kama kampuni zingine na mimi nataka TPA ipate eneo la kuhamishia mizigo na kamwe sintampenda mafisadi wapate kiwanja hicho’’ alisema.
Waziri Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela aliwasihi Chadema na mafisadi wanaotaka kuvitumia vyama vya siasa waendelee kumchafua na kwamba yeye hatachoka kwa vile malengo ni kuwatumikia Watanzania.
Pia aliwashtua waandishi alipotamka waziwazi kwamba yeye hana ndoto za kugombea urais mwaka 2015, lakini anachapa kazi ili awe Waziri Bora wa Uchukuzi.
Mwakyembe ambaye ni mwanasheria na mwandishi wa habari alitumia muda huo kuwasihi waandishi nchini kuacha kupenda mishiko kwa nia ya kupotosha ukweli.
Hata hivyo aliwapongeza  akisema ni jambo la busara kukutana na kutathimini utendaji kazi.
Awali Katibu wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo (Taswa0 ambacho kiliratibu hafla hiyo, Amir Mhando alisema walimwalika Dk Mwakyembe baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wake.

HIZI NDIO HABARI KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO APRIL 7 TANZANIA.


.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

To: All my esteemed customers




Dear sir and amdam,

How are you sir and madam? This is Shiro Yukimasa of Autorec Enterprise, Ltd.
I hope you are doing well in Tanzania.

Today, please let me introduce our nice vehicles 2004 upwards for my regular customers of Tanzania!
Now, we are reducing the price US$200 from all cars but now, I am going to consider more disocunt only for my customers.

So, please check the contents and reply to me with "KEYWORD" from my blog!

http://www.japanesevehicle-sy.com/2013/03/special-sale.html

I will try to do the best for you and ensure to supply the durable condition cars at very reasonable price!!

I am looking forward to receiving your favorable reply!
Thank you very much.

Sincerely yours,
Shiro Yukimasa (mr)
Autorec Enterprise, Ltd.
****************************
Cell Phone no: +81-80-3646-2968
Private cell phone:+81-90-9931-3833
Phone: +81-5675-6-6111 (office)
FAX: +81-5675-6-6511 or 3504
****************************
URL: http://www.autorec.co.jp
E-mail: shiro@autorec.co.jp
Skype: shiro-yukimasa
Facebook: http://www.facebook.com/shiro.yukimasa

PRESS RELEASE: ‘SIRI YA KUUAWA ZITTO YAFICHUKA’-SIO KWELI

Zitto na Demokrasia

‘SIRI YA KUUAWA ZITTO’
Katika gazeti la Mtanzania toleo na. 7269 la Jumatano Machi 27, 2013 kuna habari yenye kichwa chenye maneno ‘ SIRI YA KUUAWA ZITTO YAFICHUKA’ na vichwa vidogo ‘yadaiwa ilipangwa anyweshwe sumu hotelini’ dk. Slaa atajwa kumtuma Saanane kummaliza’. Habari hii imeniletea usumbufu mkubwa kwani ndugu, jamaa, marafiki na wapiga kura wangu, wamejazwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba ninaweza kuuwawa. Napenda kusema yafuatayo:
Moja, sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa Ben Saanane na hivyo hicho kikao ambacho inasemekana nilikuwa naye na akajaribu kunipa sumu hakijawahi kutokea. Imetajwa Hoteli ya Lunch Time ambayo sio tu sijawahi kufika, pia hata siijui ipo wapi. Haijawahi kutokea mimi kufanya kikao cha pamoja na Ben Saanane, Juliana Shonza na Mtela Mwampamba. Hivyo habari iliyoandikwa ni ya kufikirika na hivyo naomba mwandishi ahakikishe kuwa vyanzo vyake vya habari vimempa habari sahihi.
Pili, Siamini kamwe kuwa Katibu Mkuu wa chama changu anaweza kupanga kuniua maana hana sababu ya kufanya hivyo. Napenda kurudia kusema kwamba mimi ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti. Kila mtu atakufa. Kama nitakufa kwa kuuwawa na mtu mwingine ndio itakuwa nimeandikiwa hivyo na Mungu. Ndio maana hata siku moja silalamiki kuhusu vitisho vya kuuwawa nk. Kama kuna mtu anafikiria kuwa kumuua Zitto ndio furaha ya maisha yake atakuwa anajidanganya tu maana Zitto anaweza kufa kimwili lakini mawazo, fikra na maono ya Zitto yataishi tu. Siogopi kufa maana maisha niliyoyachagua ndio haya ambayo yamejaa vitisho. Muhimu kwangu ni kufanya kazi zangu kwa bidii, uhodari na uaminifu. Siku zote nitasimamia ukweli bila kujali uchungu wa ukweli huo.
Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.
Nne, Nawashauri viongozi wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.

Kabwe Zuberi Zitto, Mb
Dar-es-Salaam
Jumatano, Machi 27, 2013