Thursday, August 20, 2015

Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani-Kwa hisani ya watu wa Marekani.

Mshirikishe mwenzako
Albino 5 raia wa Tanzania waliokatwa viungo wamerejeshewa viungo bandia Marekani
Watoto watano wa Tanzania wenye ulemavu wa ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa mikono na miguu ya bandia katika hospitali iliyopo nchini Marekani.
Watoto hawa ni miongoni mwa mamia ya watu wanye ulemavu wa ngozi nchini humo ambao wamekuwa wakiwindwa na watu wanaotaka viungo vya miili yao kwa shughuli za kishirikina
Watoto hao, mmoja wa kike na wanne wa kiume kutoka mikoa ya Kaskazini Magharibi na Kusini Magharibi mwa Tanzania, wamekuwa wakipokea matibabu hayo katika hospitali ya watoto Philadelphia Shriners Hospital iliyopo jijini New York.
Wanatarajiwa kurudi nyumbani Tanzania mnamo mwezi Septemba
Wakiwa na umri kati ya miaka 6 hadi 18, wanne wa watoto hawa walipatwa na majeraha makubwa ya kukatwa mikono na miguu yao, huku mmoja wao akiwa amekatwa taya na meno.
Tayari watoto wanne wamekwisha wekewa mikono na miguu ya bandia, wakati yule aliyekatwa taya akitarajiwa matibabu yake kuchukua muda mrefu zaidi
Shirika la msaada la Kimarekani Global Medical Relief Fund linafadhili matibabu ya watoto hawa.
Ofisa kutoka shirika la Under the Same Sun Martin Haule anasema watoto wanaendelea vizuri na kwamba ni wenye furaha
Shirika la Global Medical Relief Fund linafadhili matibabu ya watoto hawa.
Ameiambia BBC kwamba wanatarajiwa kurudi nyumbani Tanzania mnamo mwezi Septemba
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, ulemavu wa ngozi unaathiri takribani mtu mmoja katika kila watu 15,000 nchini Tanzania.
Watu hawa wanawindwa kwa ajili ya viungo vyao, ambavyo vinatakiwa katika biashara haramu kwa matumizi ya shughuri za kishirikina
chanzo-bbc.com

WASIFU WA KINGWENDU KWA KIFUPI-NI MCHEKESHAJI MAARUFU NA MGOMBEA UBUNGE KUPITIA CUF

KINGWENDU's PROFILE.!
Majina yake halisi ni Rashid Mwinshehe, na jina lake la kisanii ni "Kingwendu". Kabila ni Mzaramo mzaliwa wa Kisarawe. Elimu yake ni Stashahada ya Uhasibu (Diploma in Accounting) kutoka chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA).
Kitaaluma Kingwendu ni Mhasibu. Amefanya kazi ya uhasibu ktk taasisi mbalimbali kabla hajaamua kuachana nayo na kujiingiza kwenye sanaa za maigizo ambapo anafanya vizuri ktk sanaa za vichekesho (Physical and Character Comedy).
Kwa sasa anagombea Ubunge jimbo la Kisarawe kupitia chama cha wananchi CUF akiwakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Yeye mwenyewe anasema "mwaka huu CCM watageuka mapepe Kisarawe, wanaosema sijasoma waende TIA kuuliza records zangu.."
Alipoulizwa kwanini amechagua UKAWA na sio CCM kama wasanii wengine amesema "UKAWA ndio habari ya mjini, Ukijiunga UKAWA unapata raha duniani, aluu".

MOJA YA MAGARI MAPYA YATAKAYO INGIA SOKONI 2016:Tazama picha za muonekano wake

lexus-lx-570_100521961_m
Najua kuna watu ni wapenzi wa magari mazuri mazuri, kwa sababu kila siku tunaona kuna aina mpya ya magari ambayo yanatambulishwa Duniani, nimeipata hii ya leoleo nikaona hata nisiikawize, na wewe mtu wa nguvu kama ungependa kujua  kitu kipya kutoka Lexusbasi uipate hii.
lexus-lx-570_100521981_m
Muonekano wa siti ya dereva na abiria wake wa mbele.
2016-lexus-lx-570_100522024_m
Nyuma ya siti ya dereva na abiria wa mbele kuna hizi siti… watu wawili wanakaa hapo poa kabisa.
Magari ya Lexus hata kwa hapa TZ yana watumiaji wengi sana, unajua wanajipangaje 2016 hawa jamaa? Hizi ni pichaz ambazo zimegusa headlines mitandaoni na mimi zimenivutia pia.. unaweza kuona pichaz nyingine za Lexus LX570 hapa, nje mpaka ndani.
2016-lexus-lx-570_100522026_m
Nyuma ya siti kuna TV kubwa kabisa.
2016-lexus-lx-570_100522027_m
Siti zina uwezo wa kujikunja pia.
2016-lexus-lx-570_100522028_m
2016-lexus-lx-570_100522030_m
lexus-lx-570_100521952_m
lexus-lx-570_100521953_m
lexus-lx-570_100521954_m
lexus-lx-570_100521955_m
lexus-lx-570_100521956_m
Lexus LX570 muonekano wa mbele kwenye ubora wake kabisa yani.

lexus-lx-570_100521957_m

lexus-lx-570_100521958_m

lexus-lx-570_100521963_m

lexus-lx-570_100521964_m

lexus-lx-570_100521967_m

lexus-lx-570_100521973_m
lexus-lx-570_100521975_m

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameapishwa kuanza muhula mpya



Katika hotuba yake, Bw Nkurunziza ameahidi kumaliza ghasia nchini mwake katika kipindi cha miezi miwili. Maafisa wawili wa ngazi ya juu, akiwemo mkuu wa zamani wa ujasusi wameuawa katika mashambulio tofauti mwezi uliopita, baada ya uchaguzi uliokuwa na utata. Mwanaharakati mmoja wa haki za binaadam pia alipigwa risasi na kujeruhiwa. Kulikuwa na jaribio la kumpindua Rais Nkurunziza mwezi Mei.

Ninayo Ripoti toka China, hawa ndio waliokamatwa ndani ya mwezi mmoja kwa wizi mitandaoni

Cyber Crime enter key and handcuffs , full frame
Bado kama wiki moja na nusu kushuhudia Sheria ya Kudhibiti Matumizi ya Mitandao Tanzania ikianza kufanya kazi rasmi kabisa, hiyo ni kutokana na taarifa rasmi kabisa kutoka Mamlaka ya Mawasiliano TCRA.
Nimeipata Ripoti toka China, wao walianzisha kitu kinachoitwa ‘Operation Clean Internet’ ambayo ilianza mwezi July 2015, hii ni kwa ajili ya kupambana na wahalifu wa Mitandaoni.
cyber crime
Katika Upelelezi uliofanyika mpaka sasa kumekutwa matukio kama 7,400 ya uhalifu Mitandaoni inayohusishwa na kesi za ku-hack account za watu pamoja na Makampuni.
Mpaka sasahivi watu waliokamatwa China ni 15,000 kutokana na kutuhumiwa na kesi za kujihusisha na uhalifu kwa kutumia Mitandao , hiyo ni ndani ya mwezi mmoja tu toka waanzishe hiyo Operation maalum kabisa!!
Kwa kuanza kabisa kudhibiti hii kitu watu walitakiwa kuanzisha accounts Mitandaoni kwa majina yao kamili, pamoja na Bloggers wote kujisajili Serikalini.
source-Millady ayo.com

WAHAYA WANAJEURI ILA WALUO NI MWISHO WA TAMBO-Pata tofauti yao hapa

The party was a carnival of expensive delights, and even the region’s political elite were in attendance.
Jared went all out for the ceremony, and he even hired pricey corporate MC Jalango to host the function. Speaking to a local daily, Jalango said that Jared’s party brought Ndhiwa to a standstill.
“I trust this will be the wedding of the year. You should have seen the convoy of 18 Range Rovers and the Porsche Cayenne Jared was driven in. Literally, Ndhiwa came into a standstill. All hotels had been booked by the Meru team and we had to sleep in the cars. The cheapest drink was Black Label,” Jalang’o, the MC of the day, told a local daily.
In late May, Jared gave his fianc̩e the keys to their six-bedroom house Рan act that symbolised that she had graduated from a girlfriend to a wife.
Otieno is expected to wed his flame Kendi Mwiti – the daughter of Dr Mwiti who is a popular scholar from Meru, in October, 2015.
Here are photos taken at Meru:
Jared K Otieno's expensive Porsche
Jared K Otieno’s expensive Porsche Photo/Courtesy
The interior of Jared K Otieno's Porsche
The interior of Jared K Otieno’s Porsche Photo/Courtesy
Of the choppers landing in Meru
Of the choppers landing in Meru Photo/Courtesy
The convoy of vehicles which headed to Meru
The convoy of vehicles which headed to Meru Photo/Courtesy
The huge crowd which gathered to witness the  event
The huge crowd which gathered to witness the event Photo/Courtesy
The attendees of the Jared K Otieno's dowry payment ceremony
The attendees of Jared K Otieno’s dowry payment ceremony Photo/Courtesy
The attendees of the Jared K Otieno's dowry payment ceremony
Of the choppers Photo/Courtesy
The top of the range convoy headed for Kendi's dowry payment
The top of the range convoy headed for Kendi’s dowry payment Photo/Courtesy
Jared K Otieno's fiance, Kendi Mwiti
Jared K Otieno’s fiance, Kendi Mwiti Photo/Courtesy

Friday, June 19, 2015

LOWASA AWEKA HISTORIA MBEYA,YA ARUSHA YAJIRUDIA TENA,Magari yakodiwa kila kona ya mkoa.


 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akitoka nje ya Uwanja wa Ndege wa Songwe na kulakiwa na umati wa WanaCCM wa Mkoa wa Mbeya
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Kijana Mwenye ulemavu, Ernest Mhagama aliekuja kumpokea katika Uwanje wa Ndege Songwe, Jijini Mbeya leo Juni 19, 2015.

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungia wanaCCM wa Mkoa wa Mbeya.

 Shangwe kwa wanaCCM wa Mji wa Mbalizi, Mbeya Vijijini.
 Mh. Lowassa akiteta jambo na Katibu wa CCM Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Umati wa wanaCCM wa Mji wa Mbalizi jijini Mbeya.
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za WanaCCM zaidi ya elfu tisa wa Wilaya ya Mbeya Vijijini kutoka kwa Katibu wa CCM wa Wilaya hiyo, Mary Kalinze.
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na WanaCCM wa Wilaya ya Mbeya Vijijini, kwenye mji Mdogo wa Mbalizi wakati aliposimama kuwasalimia.
  Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwasalimia wanaCCM na Wananchi wa Mji wa Mbalizi jijini Mbeya waliojitokeza kumlaki.
picha na habari kwa hisani ya michuziblog

What to look for in a business partner by Eric Kinoti

Many young people think that partnerships are all about money, but there are various characteristics you should look out for in a partner.
These are top five things you should look out for in the person you entering into a partnership with.
  1. Shared vision and goals:
First and foremost, you must have the same vision with the person you want to partner with. Even if he brings to the table a billion dollars and you don’t share the same vision and goals with you, you will not go far. He must believe in your idea, he/ must be someone who believes in your abilities and respects the goals and targets you have set out for the company. What do you see when you look into the future, do you both see the same thing or everyone has his/her own translation and opinion?
  1. Good work ethic and open to criticism.
This should go without saying — your business partner needs to work as hard as you do, and should be pushing you to give your all to the success of the new venture. If someone’s past track record says they’re lazy or unenthusiastic after a time, look elsewhere. You don’t want to have to pick up anyone’s slack, particularly your partner’s. Sometimes both of you will come up with ideas that are not good ideas. Choose a business partner who values others’ input, no matter from who in the company, and is not stubborn or will not take constructive criticism personally
  1. Trust
This is non-negotiable. It also needs to be unreserved and unambiguous. It’s easy to say, “Sure, I trust this person. They don’t lie, steal or cheat.” But it needs to go way deeper than that. Do you trust them to make the call on a tax issue? What if you’ve disagreed about the topic in question on more than one occasion and never came up with a mutually satisfactory answer? Do you trust them enough to tell them how you really feel about the stunt they pulled at a client meeting? Do you trust them to forgive you if you make a huge, embarrassing mistake?
Think carefully about whether this person has always demonstrated respect for others, including people they don’t like. Are they fair and reasonable in day-to-day negotiations? How do they handle political or religious conversations? Do you believe them when they say they are sorry?
  1. Compatible communication styles
If one person wants to talk it all out, and the other person just wants to move on without processing, it’s going to be tough to get through the kinds of conversations you need to have as business partners. You should have great communication skills in that it will apply to anyone involved in the business, including employees. As partners, you’ll need to keep each other up-to-date on all things business related. The last thing you want is to be left in the dark and upset with the end results, so make sure your partner is transparent and able to communicate well — this will help in getting investors on board too.
  1. A good rapport with others and Great Networks
Your business partner needs to be a people person. If they have a good rapport with others, whether it be past employers, employees, or business partners, then they know to manage and work with other people. Plus, those past connections can turn into new clients for your burgeoning enterprise. You should also look for someone who is well connected and has business links in many places. Your net worth equals your networks.

Entrepreneur vs Businessman by Eric Kinoti

According to the dictionary, an entrepreneur is a person who organizes and operates a business or businesses, taking on greater than normal financial risks in order to do so. It also defines a business person as a person engaged in commercial or industrial business and or someone involved in business, where in particular undertaking of activities, commercial or industrial, for the purpose of generating revenue from a combination of human, financial, and physical capital.
For me an Entrepreneur, in the purest sense, is the person who identifies a need—any need—and fill it. It’s a primordial urge, independent of product, service, industry or market. Entrepreneurship is about the future and sustainability, an entrepreneur identifies a gap and creates a lasting solution and not just for money but for the future generations benefit and sustainability.
On the other hand, a business person is that person who identifies a weakness and capitalizes in that just to make profits. For example a typical business person is that who while in a pub drinking and discussing stuff, notices another person is doing well in what he/she is doing and rushes to do it without doing any research or getting to know the hurdles involved. who opens a butchery near another does that because he knows probably customers are complaining about the other butchery’s services. He gets into the business to make money. And that the primary principle of a business person.
I encourage people to follow the entrepreneurship journey because it has a lot to offer. You may not get money immediately, but trust me the values and lessons you learn are priceless. I can assure you, all the entrepreneurs I know are very persistent, courageous, risk takers and patient.
I will point out a few. ..
Churchil is is one entrepreneur who has built his empire around comedy. He identified a gap and commercialized it. He bring joy to the living room, to the young and to the old. It is his talent. It’s something he can do even without a pay if he chooses to, but today he earns from it. He has invested in upcoming comedians too. He mentors them and makes them stars. He gives people a platform to shine. That’s entrepreneurship.
Kaweru Dennis of La Giacca, a very young Fashion-preneur identified a gap in suit making for the young achievers who want to be trendy and official at the same time. He opted to quit working for Stanchart Bank to follow his dream and to do something that gives him satisfaction. He has capitalized in his talent to earn from it. He makes good suits always in fashion.
Wesley Thomas Owiti Okoth of Bows and Tie is another Fashion-preneur . This is one person who gave young entrepreneurs to network in an event that they appreciate professionalism with a wealth of creative concepts and innovative ideas.
Mwenda Thuranira, The founder of Myspace Properties. He identified a gap in real-estate management in Mombasa and now he is the leading consultant in real estate issues. You can even call him a real estate guru.
Danson Muchemi N, Is a TechPrenuer, Google Award winner in Finance innovation. He is the Founder of Jambo Pay, the company that is collecting revenue for Nairobi County Government and a couple of others.
The list is endless, but one thing you should know is that all they entrepreneurs started small, they had many hurdles on their way but they were hard working and patient enough to work towards a break through.
In the line of making Entrepreneurship more attractive and the way to go, I am organizing An All Entrepreneurs boot camp, an event that we can all come and share our experiences and learn from each other. We also have a Young CEO Consortium where will be having sessions with the upcoming entrepreneurs, the young guys who have the idea but don’t have the capital to fund it or that guy who has Ksh 20,000 and want to start a business. I hope you will all be in attendance.

TIZAMA CCM MOSHI WALICHOMFANYIA WAZIRI MEMBE Juni 17.2015,


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akikabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Moshi mjini, Ole Nesele fomu zilizotiwa saini na wanachama wa CCM, Ofisini hapo Juni 17.2015, kwa ajili kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (mwenye miwani) akicheza ngoma iliyokuwa ikitumbuizwa na Akinamama wa CCM wakati alipofika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),  ya mkoa wa Kilimanjaro Juni 17.2015, kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.

Sehemu ya umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ukimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe nje ya Ofisi za CCM wa Mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, wakati alipofika kuomba udhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwaaga wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Kilimanjaro, waliofika katika Ofisi ya CCM ya wilaya ya Moshi Mjini Juni 17.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.



Umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakilisindikiza gari lililombeba Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe, wakati likitoka nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, baada ya kumaliza heka heka za kutafuta wadhamini kwa  ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.


Kundi la madereva wa Bodaboda wakiwa tayari nje ya Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi Juni 17.2015, wakisubiri kumsindikiza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe, baada ya kumaliza heka heka za kutafuta wadhamini kwa  ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akiwasalimia  wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofurika nje ya Ofisi ya CCM ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mjini Moshi Juni 17.2015,  kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250.




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Kilimanjaro, waliofika katika Ofisi ya CCM ya wilaya ya Moshi Mjini Juni 17.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250. Picha zote na John Badi