Sunday, September 9, 2012

SEMINA SEMINA SEMINAR

Mtumishi wa Mungu
Mmishenari ALHAJI ADM HAJI kutoka Somalia atafanya
SEMINA KUBWA YA NENO LA MUNGU
KATIKA KANISA LA AMANI SOWETO MOSHI MJINI,
Semina itaanza Jumatatu tarehe 10/09/2012 hadi tarehe 16/09/2012.
Muda ni saa 9:00 alasiri hadi 12:30 jioni.
Huduma ya Ushauri  na Maombi itakuwepo kwa siku zote za Semina kuanzia saa 4:00am-12:pm itakayohudumiwa na Pastor.BENJAMIN W.BUKUKU.
Wote mnakaribishwa,waleteni wenye shida na Magonjwa Mbalimbali wataombewa na 
kufunguliwa.


  Kweli itakuweka huru kwelikweli




No comments:

Post a Comment