Monday, September 17, 2012

HII NI SERENGETI FIESTA MOROGORO-IRINGA NA MBEYA NDO ZAMU YENU BURUDANI NZITO KAMA HII KAA TAYARI.

 Hapakutosha ndani ya uwanja wa jamhuri jana usiku,heka heka mwanzo mwisho.
 wakazi wa mji wa Morogoro walivyojitokeza kwenye tamasha la Fiesta .
 Ni shughuli moja tu juu ya jukwaa la Serengeti Fiesta 2012 . 
 Mkali wa R&B Ben Paul akiwaimbisha wakazi wa Morogoro waliojitokeza kwa wingi  kwenye tamasha la Serengeti Fiesta,ndani ya uwanja wa Jamhuri.
Msanii wa bongofleva Linah akitumbuiza jukwaani .

No comments:

Post a Comment