Thursday, September 13, 2012

aliye muua mwangosi afikishwa mahakamani kwa kufichwa


ndo gari lakifahari lililo mbeba mtuhumiwa
ASkari, Pacifious Simon akiwa amemwelekezea mtutu wa bomu la machozi Mwandishi wa Habari wa Channel Ten, Marehemu Daudi Mwangosi , September 2, mwaka huu. Pacifious jana akifikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Iringa na kusomewa shtaka la mauaji. Picha na Maktaba
alikuwa amejifunika hivi.








No comments:

Post a Comment