Thursday, September 27, 2012

ARUSHA KWA FUKUTA ASUBUHI YA LEO,FUATILIA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI JINSI ILIVYOKUWA


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgarNVGt0d36k4obVTjFX2N8mz-_U7gicm7P7lfGo66HSKow9iWU1TxWsJgUwZg5SrFECcTmRIOBFv9gx7vI48Q40y_Mr8L92b8Yos9w_NtOwXq8acPaQ3M3mNCEG86gJeALSxock-sIdwH/s1600/IMG-20120927-WA0009.jpg
 Machinga waleta tafrani Kilombero-Arusha! Ni baada ya kufukuzwa mitaani, waenda eneo waliloahidiwa (opposite na Summit Centre) na kuvunja uzio wa bati na kuanza kusafisha eneo hilo rasmi kuanza biashara zao!

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYVFZy9EwB9a2bqkAjqrKTZmPVWdM66_DjJT-S_udUkeG7xj7NIp-wUwG-9QlW73Lz7ZzutDCIt-cQSOyQorNUpUu4ynJ4W22LkDYBgEaTiiQosUXH05-n6YGJScqDM8EM5EkucyFCxOho/s1600/IMG-20120927-WA0012.jpg
watu wakiwa wanarandaranda karibu na eneo la tukio eneo la summit center na karibia na eneo la kanisa la calvary temple mjini arusha

ni maeneo ya Kilombero ! Opposite na summit centre palipozungushiwa uzio wa bati zaidi ya miaka kama 5 hivi bila kuendelezwa      

No comments:

Post a Comment