Friday, September 21, 2012

leo dar kulikuwa hivi sawa na duniani kote kwenye waislamu baada ya sala ya ijumaa

Bango Hili Linashinikiza Ubalozi Wa Marekani Ufungwe
Bango hili linasema kwa gharama yoyote Ile hawatakubali Mtume adhalilishwe
Siku Ya leo Baada Ya Swala Ya Ijumaa Maandamano Yakafanyika Dar Kupinga Kudhalilishwa kwa Mtume.



Tshirt hii inasema Wako Tayari Kufa Kupinga Mtume Kudhalilishwa

No comments:

Post a Comment