Thursday, September 27, 2012

CHADEMA WAFANYA MKUTANO WA M4C JIJINI ARUSHA HIYO JANA UKWELI HIKI CHAMA KINA UHAI MKUBWA SANA HAPA MKOANI ARUSHA ...!


Wananchi wa jiji la Arusha wakiwasikiliza viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa umakini , katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Wananchi wa jiji la Arusha wakifuatilia sera za viongozi wao wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Wananchi wa jiji la Arusha wakiwasikiliza viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),akiwemo aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Mhe.Godbless Lema, katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Wananchi wa jiji la Arusha wakimsikiliza Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassary katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha,akisisitiza kuwa Mwenge wa Uhuru jimboni kwake ni MARUFUKU.
Hili ni gari la aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Mhe:Godbless Lema,akiwa katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha,akiwaambia wananchi wake kuwa wasijali kesi yake itamalizika mapema na kurudi kazini upya.

No comments:

Post a Comment