Sunday, December 1, 2013

Aina Tatu za Wasichana You Should Know Before Kuanza Dating….


1. Wild Girls/Wamejilea Wenyewe/Wamejisimamia Wenyewe kwa Kila Kitu.
Mara nyingi wasichana wa style hi wanakuwa na tatizo la kutokuwa na picha halisi ya mwanaume.Mara nyingi hawa huwa na imagination ya mwanaume alivyo but sio mwanaume halisi.Mara nyingi wasichana ya style hii unapokuwa nao kwenye mahusiano jua tu lolote linaweza tokea muda wowote.Maana mwanaume anapotofautiana na picha aliyo nayo kichwani kwa namna yoyote ujue ugomvi unaweza kuanza na mwisho wa siku kunakuwa na ugomvi usioisha maana hawakawahi kujua namna mwanamume alivyo anavyoishi,anavyobehave,anavyoongea yaani tabia na utofauti uliopo kati ya mwanamke na mwanaume.Yaani hawa huwa na tabia za kiume huku wakisahau wao ni wanawake maana tangu mwanzo walijisimamia wenyewe.Wao hutaka mwanaume afanye sawasawa na picha zao vichwani mwao.
Wasichana wa stye hii mara nyingi huwa hata mahusiano yao huwa hayadumu sana na wao kubadilisha wanaume ni jambo la kawaida na kwao huwa ni sawa kwa sababu wako tayari kutekeleza ndoto za picha zao kichwani kuliko uhalisia wa maisha ulivyo.

2. Wasichana waliolelewa na Wazazi Wote yaani Baba na Mama( Familia)
Mara nyingi wasichana wa namna hii hujifunza malezi na namna ya kuishi na mwanaume kwa ukamilifu.Mara nyingi huelewa namna ambavyo mwanaume alivyo kupitia baba zao maana Baba kwenye familia hubeba picha halisi ya mwanaume.Ikitokea baba akaharibu kwenye familia mara nyingi wasichana hawa hutoka na picha mbaya ya mwanamume.Mara nyingi wanapoanzisha mahusiano na mwanaume wengi wao hubeba athari za malezi walizozipata kwa Baba yao na Hukuta kila unachofanya utasikia Baba yetu hufanya hivi au anaweza asikuambie lakini anakuwa na mlinganyo wake kichwani.Mara nyingi wasichana wa style hii huwa na ugomvi na boyfriend zao ambao hauna kichwa wala miguu kumbe inakuwa ni tatizo la malezi ambalo baba anakuwa ametoka nalo kwao.Ndio Maana utasikia wanatumia maneno kama “I don’t Trust You or Wanaume wote ni Waongo” Ukiona maneno haya jua hili tatizo sio lako,na mara nyingi hapa ugomvi unaweza usiwe wako ila unakuwa unatumika kama kivuli cha kupunguzi majeraha na maumivu ambayo yalianza toka mbali.Mara nyingi wanawake wa style hii huchunga boyfriend zao kama KUKU.
Lakini wasichana wa style hii wakikaa chini na kuelewa tatizo lao huwa wanakuwa ni watu bora sana kwenye mahusiano na wanakuwa na uvumilivu ambao unakuwa hauna mwisho na huwa na tumaini katika kile wanachokiamani.

3.Wasichana waliolelewa kwa Sehemu kubwa na Mama
Msichana wa style hii wanakuwa wamelelewa na upande mmoja yaani wanaweza kuwa yatima au Mama ndio anaplay big role kwenye malezi na Baba yupo na yake.Moja ya tatizo walilo nalo ni kutokuwa na picha halisi ya mwanaume yaani anahandle vitu aa anakuwaje au anaishijie na anaendeshaje vitu.Sababu baba hakuwepo pale kuregulate tabia na zile athari zilizopo kwa huyo msichana basi kunatabia zinazoweza kuibuka .Mara nyingi wasichana wa Style Hii Yaani Kufokea au kumkoromea mwanaume ni jambo la kawaida na mara nyingi hata mwanaume asipokaa sawa anaweza kupigwa .Zaidi ya hapo wanawake wa Style hii wanakuwa wivu balaa.
Style hii ya girls wanapokutana na mwanaume ambaye ni mbabe na anayejielewa huwa wanatulia na huwa na mafanikio katika maisha yao ya mahusiano na huwa hudumu kwa muda mrefu na wanapofokewa huwa wapole.

# Katika Malezi ya Mtoto wa Kike Babaa anakuwa Na Role Kubwa Zaidi kuliko Mama ingawa wote ni Wazazi .Baba anapo mess up basi jua hiyo fault itaendelea na itasababisha Conflicts kwa mtoto wa Kike na ni wachache wanaoweza kujua hizo fault na kuzizibiti.#


“When you date a Girl, You must know that you are dating her Family Also” TD Jakes

ANGALIZO:SIO WOTE WAKO HIVI ILA WENGI WAO HAPA MUJINI WANA HIZI VITU.

#mtazamo.com#

No comments:

Post a Comment