Thursday, November 21, 2013

Kamati 8 za bunge nje ya nchi

Kamati 8 za bunge zitakwenda nje ya nchi kwa ajili ya mafunzo mbalimbali. Hivi hayo mafunzo wanayokwenda nje ya nchi yanatija kwa taifa letu?
Kamati hizo ni:


  1. Kamati ya maendeleo ya Jamii iko Malaysia itarejea tarehe 26/11
  2. Kamati ya Miundombinu itakwenda Malaysia tarehe 22/11
  3. Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za mitaa itakwenda Ireland
  4. Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iko DUBAI
  5. Kamati ya Huduma za Jamii -INDIA
  6. Kamati ya Ukimwi- Afrika Kusini
  7. Kamati ya Katiba ,Utawala na sheria ipo NAIROBI na itakwenda na GHANA
  8. Kamati ya Uchumi ,Viwanda na Biashara bado haijataja nchi itakayokwenda


Kamati hizo zinamchanganuo wa wajumbe kwa idadi ifuatayo

  • Uchumi Viwanda na Biashara inawajumbe 22
  • Kamati ya maendeleo ya Jamii ina wajumbe 21
  • Kamati ya LAAC ina wajumbe 18
  • Kamati ya Huduma ya Jamii ina wajumbe 21
  • Kamati ya PAC ina wajumbe 18
  • Kamati ya Ukimwi ina wajumbe 22
  • Kamati ya Katiba, Utawala na sheria ina wajumbe 17


source Gazeti Habari leo:

No comments:

Post a Comment