Tuesday, September 4, 2012

Liveee!! Tukio Mazishi ya Mwandishi wa Habari wa Chanel 10 Daudi Mwangosi kijijini Kwao Itete Tukuyu Mkoani Mbeya




Wawakilishi Mbalimbali wakitoa salam za Pole kwa ndugu wa Marehemu

Dr  Slaa akitoa pole kwa wafiwa wote Muda huu




Rais wa UTPC Kenny Simbaya ambaye pia ni kiongozi wa msafala wa kuleta Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa anatoa salam za Pole kwa wafiwa.

No comments:

Post a Comment