Sunday, September 2, 2012

KIFO CHA MWANDISHI WA HABARI WAKATI WA VURUGU ZA POLISI NA WAFUSI CHA CHADEMA.

 
Taarifa kutoka: Tanzania Journalists Alliance (TAJOA)
Habari za hivi punde; Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC), Daudi Mwangosi, pichani - amefariki dunia kijiji cha Nyololo, Mufindi, Iringa baada ya kutokea vurugu baina ya polisi na wafuasi wa chama cha Chadema.

Habari zilizotufikia kutoka huko, zinadai kuwa Mwangosi, ambaye ni mwandishi wa habari wa Channel 10, amefariki papo hapo.

No comments:

Post a Comment