Monday, September 3, 2012

Christopher & Diana Mwakasege(Mana Ministry)

Bwana Yesu Asifiwe!!Semina ya Dar es salaam itafanyika uwanja wa jangwani na sio uwanja wa biafra kama tuliandika mwanzoni. Kutakuwa na kipindi cha vijana wa chuo,sekondari na walioko nyumbani siku ya jumamosi tarahe 15/9/2012 kwa Arusha(uwanja wa reli) na 29/9/2012 kwa Dar es salaam(uwanja wa jangwani) kwanzia saa tatu asubuhi mpaka saa sita mchana. Mungu awabariki sana na tunashukuru kwa maombi yenu na tunaendelea kuwaombea.

No comments:

Post a Comment