Tuesday, October 8, 2013

BREAKING NEWS..............


1. Mitandao mitano ya simu ambayo ni TIGO,AIRTEL,VODACOM,ZANTEL na SASATEL wamejiunga kwenye kesi iliyofunguliwa na CONSUMERS OF GOODS AND SERVICES ACROS THE COUNTRY leo mahakama kuu kanda ya Dar es salaam na kuibua utata wa kisheria na kuilazimu mahakama kupanga muda mwingine wa kutolea uamuzi wa pingamizi lil;iwekwa na serilkali.

2.Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam imeahirisha shauri hilo hadi jumatano ya wiki ijayo ambapo shauri la msingi litaanza kusikilizwa baada ya kumaliza kupokea hoja za pande zote mbili za walalamikaji na walalamikiwa.

3.Pia itakuwa imemaliza kutolea ufafanuzi utata wa kisheria ulioibuka mahakamani leo.

4.Ikumbukwe kwamba kesi hiyo ilifunguliwa kwa hati ya dharura ijumaa ya wiki iliyopita na kuanza kusikilizwa kwa upande wa jamhuri ukitakiwa kujibu hoja kwa maandishi tarehe 3 na upande wa walalmikaji kujibu hoja kbla ya tarehe 7 ambayo ni leo na kesi ilianza kusikilizwa leo mchana saa 7.

KWAHIYO TUSUBIRI MAAMUZI YA MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM

No comments:

Post a Comment