Wednesday, August 29, 2012

TUPO WANGAPI????

Tuko wangapi? Tulizana
"...Watu wengi walio katika mahusiano ya wapenzi wengi kwa wakati mmoja wanafikiri kwamba hawako katika hatari ya maambukizi ya magonjwa ya ngono ukiwemo UKIMWI kwa sababu wana wapenzi wawili au watatu ambao wamekuwa nao kwa muda mrefu. Lakini kuna uwezekano wa hawa wapenzi wakati huohuo wakawa na wapenzi wengine ambao hawafahamiani. Kwa hali hii, wapenzi hawa wanajikuta wakiwa wameunganishwa katika mtandao mkubwa wa ngono ambao unamuweka kila mmoja wao katika hatari ya kuambikizwa virusi vya UKIMWI..." Dr Fatma Mrisho, Chairperson, TACAIDS

No comments:

Post a Comment