Thursday, August 30, 2012

KADA MAARUFU WA CCM AFARIKI DUNIA LEO



MAREHEMU HAWA NGURUME
















Aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya za Kinondoni, Mbarali na Iringa Hawa Ngurume, amefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam.Imeelezwa kuwa Ngurume alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Figo, Kansa na vichomi.

Kwa habari zaidi ungana nasi baadaye,

No comments:

Post a Comment