Tuesday, December 24, 2013

Mikhail Kalashnikov, the designer of fabled AK-47 automatic rifle, died Monday, the office of the presidency in the Udmurtia region where he worked said. He was 94.



MOSCOW: Mikhail Kalashnikov, the designer of fabled AK-47 automatic rifle, died Monday, the office of the presidency in the Udmurtia region where he worked said. He was 94.

Kalashnikov designed a weapon that became synonymous with killing on a sometimes indiscriminate scale but was seen in the Soviet Union as a national hero and symbol of Moscow?s proud military past.

"He died about one-and-a-half hours ago," Viktor Chulkov, the spokesman for the Udmurtia leader Alexander Volkov, told AFP.

Lavished with honours including the prestigious Hero of Russia prize for designing the iconic rifle, Kalashnikov has said he had never intended for it to become the preferred weapon in conflicts around the world.

"I created a weapon to defend the fatherland's borders. It's not my fault that it was sometimes used where it shouldn't have been. This is the fault of politicians," he said during an award ceremony at the Kremlin to mark his 90th birthday.

AK-47?s name stands for "Kalashnikov's Automatic" and the year it was designed, 1947. Also called the "Kalashnikov", the rifle and its variants are the weapons of choice for dozens of armies and guerrilla groups around the world.

More than 100 million Kalashnikov rifles have been sold worldwide and they are wielded by fighters in such far-flung conflict zones as Iraq, Afghanistan and Somalia.

But their inventor, a World War II veteran, has barely profited financially from them and lived modestly in Izhevsk, an industrial town 1,300 kilometres (800 miles) east of Moscow.

The Izmash factory that was the home manufacturer of the weapon in the central Russian region of Udmurtia has now fallen on hard times after a collapse in orders following the fall of the USSR, a fact that prompted Kalashnikov to make a personal appeal to President Vladimir Putin.

Born in a Siberian village as the 17th child of family on November 10, 1919, Kalashnikov had a tragic childhood during which his father was deported under Soviet dictator Joseph Stalin in 1930.

Wounded during combat in 1941, Kalashnikov designed his rifle in 1947, driven by Soviet defeats in the early years of World War II at the hands of far better armed German soldiers.

In October 1941 in fierce battles around Bryansk he was heavily wounded and shell-shocked. According to his official Izmash biography, Kalashnikov first conceived of the weapon while recovering in hospital.

The rifle quickly became prized for its sturdy reliability in difficult field conditions and Kalashnikov was honoured with the Soviet Union?s top awards including the Lenin and the Stalin prizes.

Yet the design was never patented internationally and Izmash always complained that its potential income from the weapon was hit badly by the ?pirated? versions of the designs made abroad.

The 205-year-old Izmash plant remains one of the main producers of Russian weapons and is treasured as a national icon.

But Izmash has also suffered from dwindling demand and a failure to make up for this with foreign orders -- a problem plaguing many specialised post-Soviet industries. (AFP)

Wednesday, December 11, 2013

Kirk Franklin sings for Nelson Mandela funeral and in front of many Presidents! See video


kirk-mandela
kirk-franklin-tweet
The Official Memorial Service For Nelson Mandela Is Held In Johannesburg
kirk-Nelson Mandela9
kirk-Nelson Mandela6
kirk-Nelson Mandela5
kirk-Nelson Mandela4
kirk-Nelson Mandela2
kirk-Nelson Mandela
kirk-Nelson Mandela3
kirk-Nelson Mandela4
kirk-Nelson Mandela8
kirk-Nelson Mandela7

Taarifa kwa vyombo vya habari


Baada ya kupokea barua yake ya mashtaka 11 tarehe
01/12/2013 ambayo anashitakiwa nayo na iliyomtaka ajitetee
kwa maandishi, Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) jana
tarehe 10/12/2013 amefanya hivyo kwa mujibu wa Katiba na
Kanuni za Uendeshaji za Chama.
Pia Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) ametoa taarifa kwa
Katibu Mkuu wa Chama kumueleza nia yake kukata rufaa
Baraza Kuu la Chama kupinga hatua iliyochukuliwa na Kamati
Kuu dhidi yake kumvua nyadhifa zake ndani ya Chama.
Kuna sababu mbili za msingi za kukata rufaa;
1. Utaratibu wa kuchukua hatua za nidhamu ulikiukwa.
2. Sababu za kuchukuliwa hatua hizo sio sahihi.
Utaratibu ambao unatakiwa kufuatwa kabla ya kumchukulia
hatua za kinidhamu kiongozi kwa mujibu wa Katiba na Kanuni
za Uendeshaji ni kama ifuatavyo;
Kanuni ya Uendeshaji 6.5.6 inasema;
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 2
Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila
kwanza kupewa mashitaka yake kwa maandishi na mamlaka
husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.
Pia tunapenda ijulikane kwamba Kanuni ya Uendeshaji 6.5.2
(a), (b), (c) na (d) kama ilivyorekebiswa Januari 2013 inasema;
Kwa mujibu wa ibara ya 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba mwanachama
yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama
kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza;
a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa
majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao
mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila
kuzingatia utaratibu (b), (c) hapo juu kama itaona maslahi
ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa
mwanachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika
kuitwa kwenye kikao husika.
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 3
Naomba nichkue fursa hii kufafanua kuwa uongozi wa chama
ulifanya mkutano na waandishi mnamo tarehe 26/11/2013 na
kusema kwamba marekebisho haya ya Kanuni ya mwaka 2013
ambayo nimewawekea hapo juu, ndiyo utaratibu waliofuata. Pia
walieleza kuwa sikuwa naifahamu na nilidanganywa kwani Kanuni
ilishabadilishwa. Mabadiliko haya ambayo ni katika kipengele (d)
kuhusu hatua ya dharura iliyochukuliwa na Kamati Kuu haikugusa
kipengele (a) cha Kanuni. Yaani ni kuwa hata kama Kamati kuu
itachukua hatua ya dharura kwa mujibu wa kipengele (d), bado
kipengele (a) ni lazima ifuatwe na inatamka wazi sharti la kiongozi
kupewa mashtaka kwa maandishi na kupewa nafasi ya kujibu kwa
maandishi. Hii ni haki ya msingi kwa kila utawala au uongozi.
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe hakupewa mashtaka yake aliyakuta
ndani ya kikao baada ya kupewa taarifa kwa ujumbe wa simu (text
message au sms).
Kwa uzito wa makosa hayo yaliyosababisha kuvuliwa uongozi na
kwa kuangalia athari zake kwake yeye binafsi na chama kwa
ujumla, Kamati Kuu ilitakiwa kujiridhisha kwamba Kanuni za
Uendeshaji na Katiba zinafuatwa.
Hili linaendana na utaratibu uliotumika kwa Samson Mwigamba
kuvuliwa nyadhifa yake ya uenyekiti wa mkoa. Yeye hakuitwa
kabisa kwenye kikao hicho na ni ukiukwaji wa Kanuni ya Uendeshaji
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 4
6.5.6(d) niliyoisoma hapo juu kwamba lazima kiongozi huyo aitwe
kwenye kikao.
Sababu zilizotumika ingawaje hajapokea taarifa rasmi ya maandishi
kwa mujibu wa Kanuni za Uendeshaji ni kwamba yeye ameshirki
kwenye kuandaa na kusambaza waraka ambao unasemekana ni
mkakati wa ushindi wenye lengo la kupindua uongozi uliopo.
Waraka huo haukumtaja Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe kama
muandaaji au msambazaji. Waliouandaa hawajaukana na badala
yake wamesema waziwazi kabisa kwa maneno na maandishi
kwamba Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe HAHUSIKI. Sio sawa
kumuadhibu Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe kwa hisia au tu kwa
sababu ya urafiki wake na watu fulani.
Haya ni mapungufu ambayo kwa bahati nzuri Katiba na Kanuni za
Uendeshaji zinatoa nafasi ya kurekebishwa kwa kutoa nafasi ya
kukata rufaa. Na utaratibu ni huu hapa;
Kwa ufupi, Ibara 6.3.6(d) ya Katiba ya Chama;
“Kiongozi aliyechukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka
yake ya nidhamu anayo haki ya kukata rufaa ngazi ya juu ya
ile mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi hiyo
utakuwa wa mwisho”.
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 5
Ibara 6.3.6(e) ya Katiba ya Chama;
“Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini
tangu tarehe ya kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya
mamlaka iliyotoa adhabu”.
Kanuni za Uendeshaji zinatoa UTARATIBU ambao unatakiwa
ufuatwe ili kiongozi aliyeadhibiwa aweze kutumia HAKI yake ya
kukata rufani kwa maneno haya;
Kanuni ya 6.5.8 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi wa
maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumuwezesha kuamua
kukata rufani au la”
Kanuni ya 6.5.9 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Mwadhibiwa atakayeamua kukata rufani atatakiwa kufanya
hivyo katika muda wa siku thelathini baada ya kuarifiwa
uamuzi wa adhabu”
Kanuni ya 6.5.10 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Baada ya kutoa uamuzi kikao husika kinalazimika kuandaa
taarifa kamili ya mwenendo wa shauri na kuwasilisha ngazi ya
juu. Taarifa hiyo lazima ifike katika muda wa siku kumi na nne
baada ya kikao cha mamuzi”
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando

Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando-Juu ya Zitto Kabwe


Baada ya kupokea barua yake ya mashtaka 11 tarehe
01/12/2013 ambayo anashitakiwa nayo na iliyomtaka ajitetee
kwa maandishi, Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) jana
tarehe 10/12/2013 amefanya hivyo kwa mujibu wa Katiba na
Kanuni za Uendeshaji za Chama.
Pia Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) ametoa taarifa kwa
Katibu Mkuu wa Chama kumueleza nia yake kukata rufaa
Baraza Kuu la Chama kupinga hatua iliyochukuliwa na Kamati
Kuu dhidi yake kumvua nyadhifa zake ndani ya Chama.
Kuna sababu mbili za msingi za kukata rufaa;
1. Utaratibu wa kuchukua hatua za nidhamu ulikiukwa.
2. Sababu za kuchukuliwa hatua hizo sio sahihi.
Utaratibu ambao unatakiwa kufuatwa kabla ya kumchukulia
hatua za kinidhamu kiongozi kwa mujibu wa Katiba na Kanuni
za Uendeshaji ni kama ifuatavyo;
Kanuni ya Uendeshaji 6.5.6 inasema;
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 2
Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila
kwanza kupewa mashitaka yake kwa maandishi na mamlaka
husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.
Pia tunapenda ijulikane kwamba Kanuni ya Uendeshaji 6.5.2
(a), (b), (c) na (d) kama ilivyorekebiswa Januari 2013 inasema;
Kwa mujibu wa ibara ya 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba mwanachama
yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama
kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza;
a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa
majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao
mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila
kuzingatia utaratibu (b), (c) hapo juu kama itaona maslahi
ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa
mwanachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika
kuitwa kwenye kikao husika.
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 3
Naomba nichkue fursa hii kufafanua kuwa uongozi wa chama
ulifanya mkutano na waandishi mnamo tarehe 26/11/2013 na
kusema kwamba marekebisho haya ya Kanuni ya mwaka 2013
ambayo nimewawekea hapo juu, ndiyo utaratibu waliofuata. Pia
walieleza kuwa sikuwa naifahamu na nilidanganywa kwani Kanuni
ilishabadilishwa. Mabadiliko haya ambayo ni katika kipengele (d)
kuhusu hatua ya dharura iliyochukuliwa na Kamati Kuu haikugusa
kipengele (a) cha Kanuni. Yaani ni kuwa hata kama Kamati kuu
itachukua hatua ya dharura kwa mujibu wa kipengele (d), bado
kipengele (a) ni lazima ifuatwe na inatamka wazi sharti la kiongozi
kupewa mashtaka kwa maandishi na kupewa nafasi ya kujibu kwa
maandishi. Hii ni haki ya msingi kwa kila utawala au uongozi.
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe hakupewa mashtaka yake aliyakuta
ndani ya kikao baada ya kupewa taarifa kwa ujumbe wa simu (text
message au sms).
Kwa uzito wa makosa hayo yaliyosababisha kuvuliwa uongozi na
kwa kuangalia athari zake kwake yeye binafsi na chama kwa
ujumla, Kamati Kuu ilitakiwa kujiridhisha kwamba Kanuni za
Uendeshaji na Katiba zinafuatwa.
Hili linaendana na utaratibu uliotumika kwa Samson Mwigamba
kuvuliwa nyadhifa yake ya uenyekiti wa mkoa. Yeye hakuitwa
kabisa kwenye kikao hicho na ni ukiukwaji wa Kanuni ya Uendeshaji
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 4
6.5.6(d) niliyoisoma hapo juu kwamba lazima kiongozi huyo aitwe
kwenye kikao.
Sababu zilizotumika ingawaje hajapokea taarifa rasmi ya maandishi
kwa mujibu wa Kanuni za Uendeshaji ni kwamba yeye ameshirki
kwenye kuandaa na kusambaza waraka ambao unasemekana ni
mkakati wa ushindi wenye lengo la kupindua uongozi uliopo.
Waraka huo haukumtaja Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe kama
muandaaji au msambazaji. Waliouandaa hawajaukana na badala
yake wamesema waziwazi kabisa kwa maneno na maandishi
kwamba Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe HAHUSIKI. Sio sawa
kumuadhibu Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe kwa hisia au tu kwa
sababu ya urafiki wake na watu fulani.
Haya ni mapungufu ambayo kwa bahati nzuri Katiba na Kanuni za
Uendeshaji zinatoa nafasi ya kurekebishwa kwa kutoa nafasi ya
kukata rufaa. Na utaratibu ni huu hapa;
Kwa ufupi, Ibara 6.3.6(d) ya Katiba ya Chama;
“Kiongozi aliyechukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka
yake ya nidhamu anayo haki ya kukata rufaa ngazi ya juu ya
ile mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi hiyo
utakuwa wa mwisho”.
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando 5
Ibara 6.3.6(e) ya Katiba ya Chama;
“Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini
tangu tarehe ya kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya
mamlaka iliyotoa adhabu”.
Kanuni za Uendeshaji zinatoa UTARATIBU ambao unatakiwa
ufuatwe ili kiongozi aliyeadhibiwa aweze kutumia HAKI yake ya
kukata rufani kwa maneno haya;
Kanuni ya 6.5.8 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi wa
maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumuwezesha kuamua
kukata rufani au la”
Kanuni ya 6.5.9 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Mwadhibiwa atakayeamua kukata rufani atatakiwa kufanya
hivyo katika muda wa siku thelathini baada ya kuarifiwa
uamuzi wa adhabu”
Kanuni ya 6.5.10 ya Kanuni za Uendeshaji;
“Baada ya kutoa uamuzi kikao husika kinalazimika kuandaa
taarifa kamili ya mwenendo wa shauri na kuwasilisha ngazi ya
juu. Taarifa hiyo lazima ifike katika muda wa siku kumi na nne
baada ya kikao cha mamuzi”
Taarifa kwa Vyombo vya habari 11/12/2013 Albert Msando

Wapiganaji 19 wa LRA wajisalimisha


Joseph Kony
Uganda ikisaidiwa na wanajeshi wa AU imekuwa ikimsaka sana kiongozi wa LRA Joseph Kony
Jeshi la Uganda linadai kuwa limewakamata waasi 19 na kumuua kamanda mmoja kwa jina Kanali Samuel Kangul.
Kwa mujibu wa taarifa ya jeshi,msemaji wa jeshi la Uganda Luteni Kanali Paddy Ankunda, amesema kuwa waasi hao kumi na tisa waliokuwa wanaongozwa na kamanda Obur Nyeko walijisalimisha pamoja na bunduki 9 aina ya SMG.
Ankunda amesema kuwa wote waliojisalimisha ni raia wa Uganda wakiwemo watoto 6 waliokuwa wanatumika kama wapiganaji wa kundi la LRA.
Jeshi la Uganda likishirikiana na kikosi cha Muungano wa Afrika, wamekuwa wakiendesha harakati za kuwasaka waasi wa LRA baadhi yao wakiwa wanatakiwa na mahakama ya uhalifu wa kivita ya ICC kama kiongozi wao Joseph Kony.
Bwana Ankunda amenukuliwa akisema kuwa jeshi la Uganda litaendelea kuwapokea waasi wanaoasi vita.
''Tukiendelea kufanya kazi kuambatana na sheria za kimataifa tuko tayari kuwapokea waasi wote wanaorejea nyumbani,'' alisema Ankunda.

Hayati Mandela aendelea kumiminiwa sifa

Mwili wa Mandela ukisindikizwa na polisi Afrika Kusini
Mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Marehemu Nelson Mandela umewasili kwenye ikulu ya Afrika Kusini mji Mkuu wa Pretoria, na utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.
Msafara wenye jeneza la Marehemu uliondoka mjini katika Hosptali ya jeshi muda mfupi siku ya jumatano. Jeneza lilibebwa kwenye gari maalum na kufunikwa bendera ya Afrika Kusini.
Wananchi walijipanga kando kando ya barabara lilipopitishwa jeneza kama ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Msafara ulipita katika mitaa huku baadhi ya raia wakikimbia pembeni kwenye mstari wa askari wa wanajeshi Mwandishi BBC's Joseph Winter katika mji wa Pretoria amesema.
Wanajeshi waliobeba jeneza hilo walisonga hatua kwa hatua hadi katika Majengo ya Muungano eneo alikoapishwa kuwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika kusini 1994.
Wanachi, wakuu wa nchi walioalikwa na wageni wengine wa kimataifa watapata nafasi ya kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa marehemu aliyefariki alhamisi akiwa na umri wa miaka 95.
Wageni hata hivyo hawaruhusiwa kupiga picha.
Leo jioni wasanii mbali mbali wa Afrika Kusini watashiriki katika tamasha maalum la kumuenzi Mandela na ambalo wananchji wataruhusiwa kuhudhuria bila malipo.
Marehemu Mandela atazikwa nyumbani kwake katika kijiji Qunu katika jimbo la Cape Mashariki siku ya jumapili.
Maelfu ya raia wa Afrika ya kusini hapa jana waliungana na viongozi mbali mbali duniani katika ibada ya kumbu kumbu siku ya jumanne kama sehemu ya mfululizo wa maombolezo kifo chicho.

Tuesday, December 10, 2013

Wakuu wa nchi na Serikali zaidi ya 91 na Mastaa kibao kumzika Mandela

Johannesburg. Serikali ya Afrika Kusini, imetoa orodha ya majina ya wakuu wa nchi na Serikali 91 ambao wamethibitisha kushiriki katika shughuli zinazohusiana na safari ya mwisho ya Rais wa kwanza mzalendo wa taifa hilo, Nelson Mandela.

Jina la Rais Jakaya Kikwete ni la kwanza katika orodha hiyo inayowaweka viongozi hao katika makundi kutokana na mabara wanakotoka. Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili jana usiku tayari kuhudhuria Ibada ya Kitaifa ya Mandela ambayo imepangwa kufanyika leo kwenye Uwanja wa FNB (Soccer City).

Kabla ya Serikali kutoa orodha hiyo,Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa wa Afrika Kusini, Maite Nkoana-Mashabane alisema wakuu wa nchi na Serikali 53 walikuwa wamethibitisha lakini jana mchana idadi hiyo ilikuwa imeongezeka na kufikia 91. Kulikuwa na wasiwasi kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka na kuzidi 100.

Msemaji wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa ya Afrika Kusini, Clayson Monyela aliwataja marais wengine kutoka Afrika kuwa ni kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC),Joseph Kabila, Hifikepunye Pohamba wa Namibia, Mike Sall wa Senegal,Allessane Ouattara wa Cote d’Ivoire,Goodluck Jonathan wa Nigeria,Robert Mugabe wa Zimbabwe,Dennis Sassou-Nguesso wa Congo Brazaville, John Dramani wa Ghana na Ali Bongo wa Gabon.

Kutoka Amerika ya Kusini ni marais Nicolus Maduro Moros wa Venezuela na Dilma Rousseff wa Brazil ambaye ataambatana na marais wanne wastaafu wa nchini kwake.

Waziri Mkuu wa Bahamas, Perry Christie, Rais wa Guyana, Donad Ramotar, Rais wa Haiti, Michael Martelly na Rais wa Jamaica, Portia Miller, wakati kutoka Asia, kutakuwa na marais Pranab Mukherjee wa India na Hamid Karzai wa Afghanistan.

Rais Francois Hollande wa Ufaransa,Waziri Mkuu wa Australia, Tony Abbot, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon Tayari Rais wa Marekani, Barrack Obama na mkewe Michelle walishathibitisha kushiriki, pia watangulizi wake, Bill Clinton,George W. Bush na Jimmy Carter wanatarajiwa kushiriki katika mazishi ya Mandela yatakayofanyika Qunu, Mthatha Jumapili.

Armando Guebuza wa Msumbiji, Abdelkader Bensalah wa Algeria,Makamu wa Rais wa Angola, Manuel Vicente, Rais wa Niger, IssoufouMahamdou, Kaimu Rais wa Agentina,Amado Boudou, Waziri Mkuu wa New Zealand, John Key na Rais wa Bangladesh, Abdul Hamid MD Abdul.

Malkia Haakon wa Norway, Mfalme wa Philippe wa Ubelgiji, Rais wa Pakistan, Mamnoon Hussain, Rais wa Benin, Boni Yayi, Rais wa Palestina Mahmoud Abbas, Rais wa Botswana,Seretse Ian Khama, Rais wa Ureno,Anibal Cavaco Silva na Mfalme wa Saudi Arabia, Muqrin bin Abdulaziz Al-Saud, Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, Rais wa Saharawi,Mohamed Abdelaziz, Waziri Mkuu wa Canada,Stephen Harper wa Chad, Idriss Deby Itno, Rais wa Serbia, Tomislav Nikolic,Makamu Rais wa China, Yuanchao,Rais wa Shelisheli, James Alix Michel,Rais wa Comores, Dr Ikiliou Dhoinine na Mfalme wa Hispania, Felipe de Borbon.

Rais wa Sri Lanka, Mahinda Rajapaksa,Makamu Rais wa Sudan, Hassan Salih,Rais wa Suriname, Desire Delano Bouterse, Rais wa Slovenia, Pahor,Rais wa Croatia, Josipovic Ivo, Rais wa Sudan Kusini, Salva Kir Mayardit, Rais wa Cuba, Raul Castro Ruz, Rais waDjibouti, Ismail Omar Guelleh, WaziriMkuu wa Swaziland, Dr Sibusiso Dlamini, Waziri Mkuu wa Ethiopia, Ato Hailemariam Dessalegn na Rais wa Equatorial Guinea, Obiang Mbasogo.

Rais wa Finland, Sauli Niinisto, Rais wa Tunisia, Mohamed Moncef Marzouki, Waziri Mkuu wa Trinidad na Tobago, Kamla Persad-Bissessar, Rais wa Gambia, Prof Alhaji Dr Yahya Jammeh, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Rais wa Ujerumani,Joachim Gauck, Rais wa Guyana,Donald Ramotar, Rais Michael Satta wa Zambia na Rais wa Guinea,Profesa Alpha Conde.

Mwanamuziki Bono, Mtangazaji,Oprah Winfrey na Mwanamitindo,Naomi Campbell na watoto kutoka Familia ya Malkia wa Uingereza,Prince Charles na Prince Harry.