Wednesday, October 24, 2012

Yaliyojiri dodoma katika uvccm na wasemavyo vijana katika mitangao ya kijamii,facebook,twitter etc

Uchaguzi Wa Uvccm Taifa Uliofanyika Jana Uligubikwa Kwa Rushwa yaani Viongozi waliochaguliwa hawana Uwezo Na Sifa,Neno Langu La Mwisho CCm Inaelekea Kubaya Katika Hali Mbaya Huo Ndyo Ukweli Kamili.Bila Uvccm Imara,CCM itayumba na Nchi Pia....Namnukuu Hayat Baba wa Taifa Katika Mkutano Mkuu wa CCM mwaka 1995 Watanzania wanahitaji mabadiliko,wasipoyaona Ndani Ya CCm watayatafuta Nje Ya CCM,Pia watanzania wanaichukia sana Rushwa na Viongozi wanaochaguliwa kwa Rushwa
Like · ·
  • Masudi Kuseka mie hapa mpaka kichwa kinauma.mambo ya ukambi
  • Grace Shindika Vp mtu wako ulompigia bede kashindwa???jipe moyo tuondoe hayo na tuendeleze chama,,,coz acekubal kushindw c mshindani
  • Mathew Mfinanga James tulikuambia unania njema na kundi lako ila ndani ya ccm watu wema hawapenyi,lazima uwe mchawi au uwe na pesa ya kununua watu,
    cjaamini hadi sasa paul makonda kupigwa chini.
  • James Rock Mwakibinga Hatuwezi kuvumilia tatizo la rushwa likiendelea madaraka yamekuwa yakinunuliwa hali hii itaisha lini@Irene,kwa hili usiingilie kabsa yaani usinikasirishe unajua mm simwogop mtu ,bala nawaheshimue tu haya yote yanayofanywa kisa Lowassa mwizi anayumbisha ccm na Jumuiya zake....Wewe ngoja tu Watanzania si wa jinga tena,wana ccm labda ndyo wakunuliwa hili watu wapate madaraka,Tumechoka tunahitaji mabadiliko ya watoto wa kimasikin nao kupata nafasi kuongoza
  • Albert Alex Ibrahim Niliwahi kukuambia kaka kamwe huwezi kuiongelea Rushwa ukiwa umevaa Green.,!.,Sasa umedhihirisha mwenyewe Rushwa ndio sera ya CCM.,Na ina baraka zoote.,Kiukweli Vijana Tumekwisha no way...!
  • Amoni Geofrey Kitundu mm nahic mtu ameiba pasword ya james ndo akapost hii status mana huyu siye jems ninayemfahamu.Kama ni yeye basi Naomba Mungu azidi kumfunulia zaid na zaid kama sisi alivyotufunuliaga mapema tukahama ccm,Naamn nafasi bado ipo ya james kuchukua maamuz sahihi
  • Balozi Jacob JaJu mi kwasasa siwezi kuwalaumu waliochaguliwa bali NTAKUFA NA WAJUMBE,KWANI WAO WALIFUMBWA AKILI,HUU NI UJINGA WA MWISHO KULIKO MAUJINGA YOTE,UNAPIGA KURA KWA MTU KWA VILE KAKUPA FEDHA,MIMI NINGECHUKUA FEDHA NA KURA NINGEELEKEZA KWENGINE ILIMRADI TU NISICHAGUE KIONGOZI ZUZU
  • Sophie Kessy na huo ndio ukweli nakwambia wasipo yaona ndani ya CCm watayatafuta nje ya CCM na wanaona wanasikia na wanajua wanacho kitaka
  • Albert Alex Ibrahim Kaka tumechoshwa na Ushenzi wa Kiburushwa na Vibaraka wa Lowassa....!,Nakuinbox nn tufanye vijana ndani na nje ya CCM,kabla ya 2015
  • Masudi Kuseka we mwenyewe ulimsikia RAIS alivyokuwa analalamika kwamba uchaguzi wa UWT TAIFA uligubikwa na rushwa wakati kabla ya huo uchaguzi wa UWT TAIFA, TAKUKURU walisema wamedhitibi RUSHWA na hakukuwa na Rushwa,sasa huyo RAIS wetu kaambiwa na nani kama kulikuwa na Rushwa katika uchaguzi wa UWT TAIFA.sasa nani muongo KATI YA TAKUKURU NA RAIS?
  • Loma Kivuyo Hv kwel huyu james rock nnayemfaham au n m2 anatumia acount yake? Ktk post zake nyng nazsomaga 2 na kutochangia chochote ila cku 1 alnkera sana kwa kuifagilia ccm na kuponda CHADEMA ila ya leo kal cc w M4C tulyaona hayo mapema ndo mana tukaseba kimiakimia
  • Irene Msellem hakuna anaekutisha wote walikuwa na vigezo vilivyowawezesha kufikia hatua ya fainali. sasa wewe ulitaka nani ashindwe wote ni ccm wenzio tumkubali alieshinds. uvccm haiwezi kufa kwa makonda kushindwa. ajipange upya miaka minne sio mingi@James
  • Elijah Samson Mwakilindi James Rock mwakibinga, uyaonayo sasa tuliyaona mapema, fanya maamuzi magumu kaka.
  • Ayoub Yusuph-Mwanaharakati Wajumbe ndio wenye matatizo tena makubwa ndio maana jana nilisema mfumo wa uchaguzi ubadilike badala ya wajumbe wachache kwenda kuchagua viongozi ni bora kila mwanachama apate nafasi ya kuchagua mtu anayempenda na anaeona anafaa.Vijana wote wa UVCCM ndio walitakiwa kuwachagua viongozi wao na si kundi la wachache
  • Masudi Kuseka Lowassa is our next Prezidaaa.mkatae au mkubali, KIDUMU CHAMA TAWALA CCM.KIDUMU CHA MAPINDUZI CCM.
  • Balozi Jacob JaJu Irene,hata mimi namuunga mkono james kwasababu moja,wote walikuwa na nafasi ya kushinda,hofu na tatizo letu limetokana na namna ushindi wa huyu mwenzetu ulivopatikana,yani kama ni mahakamani ni kwamba watu walifanya maamuzi wakiwa hawana akili timamu,yaani wakifurahia fedha badala ya kumfurahia kiongozi
  • Mtela Mwampamba Nani kashinda ndugu zangu?
  • Jestina George It's about time watu wakaongea ukweli asante sana James Rock Mwakibinga na Mungu akulinde kwa hili. Inatia aibu na kusikitisha sana
  • Sule Junior Hahahahahaha! Hyo ndio ccm mdgo wangu James!
  • John W. Jacob Kuna cku nilimwambia James Kuwa "TIME WILL TELL" Thats what i meant. Sasa rushwa na umakundi ndani ya ccm are INSEPERABLE COMPANIONS. Viva M4C Viva.
  • Florah Nkondola Amon No comment ila mwakibinga ulijiamin c kawaida,mwacheni mwanamke afanye kazi m2 hajaanza kazi mnaanza kulalamika wanawake wanaweza banaha me ila cna chama zaidi ya chakabila ye2 wanyasa bhaaaaass
  • Agustino Chacha Dawa si kukimbia tatizo bali ni kukabiliana nalo kilichopo mbele ye2 ni kuhakikisha 2napinga kwa dhati rushwa ndani ya chama kama 2taendelea kuweka viongozi ambao hata kujitambulisha wao wenyewe ni tatizo basi Mungu ibariki CCM@James.
  • Salome Steeve Nilikuwa nasubiri post ya namna hii kutoka kwako mpigadebe mashuhuri,kama kulikuwa na rushwa si mngezuia uchaguzi usifanyike, kwi kwi kwi hahahahahahahahahahaaaa bonyeza kizenji wahenga walisemaaaaaa asiyekubali kushindwa si mshindani
  • Waridy Peter James .james james. Mwakibinga
  • Witness Peter i like ur post James!
  • Hamis Pembe Ushauri wangu achana na siasa ndugu yangu maana hata ukienda huko kwingine mambo ni hayo hayo ndo mfumo wa siasa katika nchi ulioasisiwa na chama hiko hiko unachokipenda ndio ulivo kama huna kitu uctegemee chotechote.
  • Hamis Pembe Ushauri wangu achana na siasa ndugu yangu maana hata ukienda huko kwingine mambo ni hayo hayo ndo mfumo wa siasa katika nchi ulioasisiwa na chama hiko hiko unachokipenda ndio ulivo kama huna kitu uctegemee chotechote.
  • Hamis Pembe Ushauri wangu achana na siasa ndugu yangu maana hata ukienda huko kwingine mambo ni hayo hayo ndo mfumo wa siasa katika nchi ulioasisiwa na chama hiko hiko unachokipenda ndio ulivo kama huna kitu uctegemee chotechote.
  • Florian Sospeter Muchunguzi Pole kwani ulikuwa ujui au baada ya kushindwa ndo rushwa inaibuka
  • Florian Sospeter Muchunguzi CCM NI PESA TU BILA PESA IMEKULA KWAKO(chukua chako mapema-CCM)
  • Florah Nkondola Amon Bwana wee safari hi walikuwa wanataka M/m uvccm mwanamke kama ilivyokuwa kwa spika mwa 2010,kwi kwi kwi kwi me thithemi
  • Getrude Kokwenda Ndibalema Nimezid kukupenda james kwa kuongea ukweli juu ya hata pale unapopapenda..
  • Simba Roine acha kulalamia kaka....! kushindwa wewe ndo ushindi wa wenzio
  • Gabriel Gregory Ishole kwa sababu Makonda hajachaguliwa?.Tukubali matokeo dogo na hiyo ndiyo siasa
  • Said Noyi Polen sn bt hyo ndo siasa ndgu yangu we jipange 2.
  • Isaac Kitogo James Rock Mwakibinga, take time kutafakari kwanza, kumbuka hao waliopitishwa ngazi zote za vikao vya chama ziliona wanafaa na wanauwezo wa kuwa viongozi ndiyo maana wakapewa nafasi ya kushindana. labda kwanza uhoji vikao vyote vya uteuzi ndani ya cham...See More
  • Mathew Mfinanga Kueleza isia zako za ndani kwa uliyoyaona cyo udhaifu,sumaye alieleza anayoeleza james na pia jk akifungua mkutano alieleza hayo hayo je,nao ni wadhaifu hawajakubaliana na matokeo?
    Tusidanganyane ndani ya ccm hakuna haki hata kidogo.White hair amewanunua.
  • Jofrey Kamwava pole kaka umeangukia pua nini? mbona maneno mengi sana................

No comments:

Post a Comment