Thursday, February 28, 2013

Kamanda Mbowe ndani ya Mbeya maandalizi ya uzinduzi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

MWENYEKITI wa Taifa, Freeman Mbowe leo ameingia Jijini Mbeya, kwa ajili ya vikao vya ndani kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Ruvuma, Njombe, Iringa na Mbeya) utakaofanyika kesho kwenye Viwanja vya Dkt. Slaa (zamani Mama John), ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya ndani na hadhara kutekeleza maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA, kuielezea dhana ya uendeshaji wa chama kupitia kanda ambayo lengo lake kuu ni kushusha mamlaka ya uendeshaji wa chama katika ngazi ya chini, simply decentralization of powers from the centre.

No comments:

Post a Comment