Wednesday, August 29, 2012

TUWAZE NNJE YA BOX

Tuwaze Nje Ya Box hasa Serikali Ya Tanzania....Kwa Kawaida Mtoto ukimzoesha viboko anazoea Viboko baadae ukimchapa hata kuwa anaumia kama awali. Kume kuwa na Vitendo Vya Utumiaji Nguvu Sana sikuhizi baada ya Wananchi Kugoma Kwa Makusudi, ama Kwa Itikadi zao, Serikali Inatumia Nguvu Hata Watu kwenda Kuhesabiwa??Yaani how comes??Serikali Inatumia Nguvu Kuzuia Maandamano Ya Vyama Vya Siasa, Serikali Imetumia Nguvu Kuwaondoa Wamachinga, Serikali Inatumia Nguvu Kuwazuia Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu, Serikali Inatumia Nguvu Kuzuia Magazeti kama Mwanahalisi, Na Mwisho Wa Siku Itatumia Nguvu Kuzuia tusiandike Facebook......My Worry Kuna Siku Wananchi Watazoea Matumizi Ya Nguvu hasa Mabomu Ya Machozi na Risasi.

Ukiona baba Yako Mzazi anasema 'Ujue Mimi Baba Yako??" basi Ujue either umemdharau au amepoteza uwezo wa Kuwa Baba limebaki tu Jina.

No comments:

Post a Comment