Thursday, August 30, 2012

TOKA KIJIJINI KWETU HUKO NAKO KUNA MAMBO

Chezea kwetu, Ni habari ya kweli na inasikitisha kwa kweli........Joseph Mapunda mwenye umuri wa miaka 40 amesema ameweza kuishi kindoa na Mama yake Mzazi Condorada Ngonyani 70 baada ya yeye kukubaliana wenyewe yeye na mama yake mzazi kuishi kindoa kama mume na mke alipo ulizwa Mama alikiri kuwa kweli wameishi kindoa kwa miaka 10 na anampenda Mume wake ambaye ni Mtoto wake Joseph Mapunda.
ndo hawa hapa pichani.......

No comments:

Post a Comment