Trace Tv ni kituo cha TV
cha Ufaransa ambacho kina heshima kubwa kwenye burudani sehemu
mbalimbali duniani kutokana na kuonyesha video kali za wasanii wa dunia,
mtanzania pekee ambae video zake zinachezwa Trace ni AY.
Namba 5 ni Britney Spears.
4 Mwimbaji Rita Ora ambae yuko chini ya Jay Z.
3 ni Ciara.
2 ni Rihanna.
1 ni Beyonce.
No comments:
Post a Comment