Baadhi
ya mashabiki wa mshindi wa shindano hilo la EBSS,Walter Chilambo
wakishangilia kwa shangwe na vifijo mara baada kutamkwa yeye ndiye
kinara katika kilele cha shindano hilo lililovuta hisia za watu wengi
Mkurugenzi
wa kampuni ya Benchmark Productions Limited, na jaji mkuu wa Shindano
la Epiq Bongo Star Search 2012 (EBSS), akiwa amemkumbatia mshindi wa
shindano hilo Walter Chilambo ndani ya ukumbi wa Diamond,Chilamba
ameibuka na kitita cha shilingi Milioni 50
Msanii Barnaba akiimba na mmoja wa washiriki wa shindano la Epiq Bongo Star Search 2012 (EBSS),
Mshiriki wa EBSS NshomaNg'hangasamala akiimba moja ya wimbo wake jukwaani.
Mwanadada
Salma Albushiri akiimba kwa hisia huku akipiga gitaa mbele ya mashabiki
wake waliofika kumshuhudia ndani ya ukumbi wa Diamond usiku huu.
Mapouda.! majaji hawaishi vituko
Mashabiki kama kawa.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Linah na Amin wakiimbwa kwa pamoja wimbo mpya uitwa Mtima Wangu
Mwasiti akicheza na Wababa
No comments:
Post a Comment