Shaban
Kado ambae anaichezea Mtibwa kwa Mkopo akitokea Yanga kaniambia kwenye
gari alikua na mtu mwingine ambae ameumia kichwani na anaendelea vizuri,
chanzo cha ajali anasema ni gari alilokua akipishana nalo kumfata
upande wake ambapo katika mshtuko nae akahamia upande wa lile gari, yule
dereva nae akarudi upande wake wakakutana.
.
.chanzo-millard ayyo.com
No comments:
Post a Comment